Header Ads Widget

BENKI YA CRDB YAANDAA FUTARI KWA WATEJA WAKE

 

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally  (katikati) akiwa ameambatana na Kaimu Sheikh wa Dar es salaam, Sheikh Walid Alhad Omar, wakiongozana na Mwenyeji wako, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRD, Abdulmajid Nsekela (kulia) wakati walipowasili kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja wake, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na zaidi ya watu 1,000. Picha zote na Othman Michuzi.
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally (watano kulia) kwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRD, Abdulmajid Nsekela (watatu kulia) wakikabidhi sehemu ya msaada wa vyakula na mahitaji mengine kwa watoto wawakilishi wa moja ya kituo cha kuwalea watoto yatima, wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja wake, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam. Wapili kushoto ni Mkuu wa  Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo.
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally akizungumza na wageni mbalimbali walioalikwa katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja wake, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRD, Abdulmajid Nsekela akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya  CRDB, Dkt. Ally Hussein Laay akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Kaimu Sheikh wa Dar es salaam, Sheikh Walid Alhad Omar akizungumza na wageni mbalimbali walioalikwa katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja wake, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Kitengo cha CRDB Al-Baraq, Rashid Rashid akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja, wadau, pamoja na vituo vya watoto yatima, iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.













 

Post a Comment

0 Comments