Header Ads Widget

MENEJA WA TCRA KANDA YA ZIWA ATEMBELEA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA


Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo ( wa tano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga alipotembelea Ofisi ya Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa  Shinyanga (Shinyanga Press Club - SPC) leo Jumatatu Desemba 5,2022
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo ( wa tano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga alipotembelea Ofisi ya Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa  Shinyanga (Shinyanga Press Club - SPC) leo Jumatatu Desemba 5,2022
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo ( wa tano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga alipotembelea Ofisi ya Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa  Shinyanga (Shinyanga Press Club - SPC) leo Jumatatu Desemba 5,2022
Mkurugenzi wa Malunde 1 blog, Kadama Malunde (kushoto) ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii (JUMIKITA) Kanda ya Ziwa  akizungumza jambo na Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo alipotembelea Ofisi ya Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa  Shinyanga (Shinyanga Press Club - SPC) leo Jumatatu Desemba 5,2022
Mwandishi wa Habari wa Redio Kwizera Mkoa wa Shinyanga , Amos John maarufu MC Mzungu Mweusi akizungumza jambo na Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo

Post a Comment

0 Comments