
Baada ya kipindi cha maswali na majibu bungeni leo wabunge walianza kuchangia hotuba ya Wizara hiyo kwa bajeti ya mwaka 2022/23.
Hata hivyo baada ya Kihenzile kumuita mchangiaji wa kwanza Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Catherine Magige, Waziri Januari Makamba na Naibu wake Stephen Byabato hawakuwepo ndani ya ukumbi wa bunge.
SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI.
0 Comments