Header Ads Widget

WATU WANNE WAFARIKI AJALI YA BASI DODOMA

Watu wanne wamefariki dunia na 19 kujeruhiwa mkoani Dodoma katika ajali iliyohusisha basi la Geita Express kugongana na Fuso jana Jumapili Aprili 3, 2022.
 
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Onesmo Lyanga amesema ajali hiyo imetokea jana wilaya ya Chamwino mkoani humo.
 
SOMA HAPA ZAIDI  CHANZO MWANANCHI

Post a Comment

0 Comments