POLISI, MAHABUSU WAFARIKI KWA AJALI MWANZA.
![ajalipiic](https://www.mwananchi.co.tz/resource/image/3797084/landscape_ratio16x9/1160/652/9324795e65a03ca8b2a1e584ef059a77/at/ajalipiic.jpg)
Watu wanne wakiwemo askari polisi wawili na mahabusu wawili wamepoteza maisha kwa ajali ya gari iliyotokea jana Jumatano jioni Aprili 27, 2022 Kijiji cha Ibanda barabara ya Geita-MwanzaKamanda wa Polisi mkoa wa Geita,Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI.
0 Comments