Header Ads Widget

MVUA YALETA MAFURIKO SHINYANGA MJINI...MADARAJA YA KITANGIRI - IBINZAMATA BALAA

Mvua iliyoambatana na mawe iliyonyesha kwa takribani dakika 45 kuanzia saa tisa alasiri leo Jumamosi Februari 13,2021 Mjini Shinyanga imesababisha mafuriko na kukata mawasiliano katika baadhi ya maeneo likiwemo eneo la kutoka Ibinzamata kwenda Kitangiri.

Maeneo mengine yaliyoathirika ni Mtaa wa Viwandani, Mnara wa Voda na maeneo ya masoko ambapo maji yameririka kwa wingi kuingia kwenye nyumba za watu yakiwemo maeneo ya biashara na kusababisha uharibifu wa mali mbalimbali.

ANGALIA PICHA ZAIDI NA SOMA ZAIDI <<HAPA>>


Post a Comment

0 Comments