Mgombea Mwenza wa 
Kiti cha Urais wa CCM Mama Samia Suluhu Hassan Leo Oktoba 15, 2020 
ameunguruma Wilayani Chunya Mkoani Mbeya Kwenye Mwendelezo wa Mikutano 
ya Kampeni ya Kunadi Sera na Ilani bora na ya Maendeleo ya CCM. Mama 
anaongea na Watanzania kutoa kura Zote kwa CCM na kuacha kabisa 
kuchanganya mambo kuchagua wapinga maendeleo.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM 











 
 
       
 
 
