Header Ads Widget

MAMA SAMIA AWAAHIDI UMEME NA MIKOPO WACHIMBAJI WADOGO CHUNYA


Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa CCM Mama Samia Suluhu Hassan Leo Oktoba 15, 2020 ameunguruma Wilayani Chunya Mkoani Mbeya Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni ya Kunadi Sera na Ilani bora na ya Maendeleo ya CCM. Mama anaongea na Watanzania kutoa kura Zote kwa CCM na kuacha kabisa kuchanganya mambo kuchagua wapinga maendeleo.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM 

 

 











Post a Comment

0 Comments