Header Ads Widget

MAJALIWA AMNADI DK. MWINYI ZANZIBAR, ATAJA SIFA ZAKE MUHIMU


Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM-Taifa Ndugu Kassim Majaliwa ameunguruma Visiwani Pemba leo na haya ndio aliyoyaongea Kwenye Mkutano Mkubwa wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa CCM Visiwani humo Dkt Hussein Ali Mwinyi Kwenye Viwanja Vya Mchanga Mdogo.

#YajayoniNeematupu
#Mwinyi2020 









 

Post a Comment

0 Comments