Header Ads Widget

DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA UCHUMI UTAKAOZALISHA AJIRA 300,000, FURSA SAWA KWA WOTE


Dkt Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa CCM Zanzibar amepata nafasi ya kufanya Mahojiano maalum na Vyombo vya Habari Leo Ijumaa Oktoba 23, 2020 ambapo amepata nafasi ya Kutolea ufafanuzi mambo mbalimbali yanayoenda kufanyika baada ya Kupata ridhaa kutoka kwa Wananchi na amejibu maswali yote ya wananchi waliokuwa wakipiga simu na kutuma Ujumbe mfupi kuuliza. Haya ndiyo aliyoyaongea Kwenye Mahojiano hayo Maalum Kutoka Zanzibar. Dkt Mwinyi amejipambanua kwa sera nzuri, anatosha.

#mwinyi2020
#YajayoniNeematupu
#T2020JPM
















Post a Comment

0 Comments